Sunday, 18 June 2017

TANZANIA KUKUA KIUCHUMI

Bank ya Dunia (WB) wametoa list ya nchi ambazo zinakuwa haraka kiuchumi mwaka 2017 huku nchi za Afrika na Asia zikionekana kushika kasi katika kukuza uchumi wake kutokana na kukua kwa biashara na miundombinu.

Katika list hii Ethiopia inakamata nafasi ya kwanza ambapo uchumi wake umekua kwa 8.3% huku Tanzania ikitajwa miongoni mwa nchi 10 ikikamata nafasi ya tano uchumi wake ukikua kwa 7.2% huku uchumi wa Djibouti ukikua kwa 7% licha ya kukabiliwa na ukame mkubwa katika nchi hiyo